Stephen Watson | |
Amezaliwa | 6 Novemba 1954 Cape Town, Afrika Kusini |
---|---|
Amekufa | 10 Aprili 2011 Cape Town, Afrika Kusini |
Nchi | Afrika Kusini |
Kazi yake | Mshairi |
Stephen Watson (6 Novemba 1954 - 10 Aprili 2011) alikuwa mwandishi wa Afrika Kusini. Alifundisha Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Cape Town. Hasa aliandika mashairi kuhusu mji wake wa Cape Town. Mwaka wa 2011 aliaga dunia baada ya kupatwa na kansa.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search